Umuhimu Wa Kuwa Na Website Licha Ya Kutegemea Mitandao Ya Kijamii Kupata Wateja

Umuhimu wa kutumia mitandao ya kijamii kuliko mitandao ya kijamii

Written by Anthony Charles

Anthony Charles is a Web Designer and Hosting @Tanzlite | Content Writer

December 26, 2024

Kuna swali niliwahi kuulizwa “Kama ninapata wateja na kila kitu ninachokitaka kupitia mitandao ya kijamii je, kuna umuhimu gani wa kuwa na website”

Vipi kama ungelikuwa na website, si ungekuwa unapata wateja mara mbili zaidi? 

Okay, social media siyo majukwaa yako muda wowote algorithms inaweza kubadilika, akaunti yako inaweza kufungiwa muda wowote.

Mtandaoni unaweza ukawa unapost vitu ambavyo haviendani na career yako/ business yako lakini kuna mtu akawa interested kujua zaidi “Huyu mtu anafanya nini” kama haweza kupata majibu ya direct mpaka aanze kuscroll kwenye post zako huenda na wewe wiki nzima unapost unrelated stuff maana yake hawezi kujua who you’re, what you do. Utapoteza fursa. 

Ni vigumu kuonyesha testmonials zote kwa pamoja, ni vigumu kuonyesha nini unafanya ama nini kampuni yako inafanya kwa kina ili kwamba mtu akiangalia aelewe deep nini anaweza kufaidika kutoka kwako kabla hata hajakupigia simu. 

Pili, unakuwa limited kuandika post ndefu sababu ya platform yenyewe ilivyo watu wengi hawawezi kusoma maneno mengi kiasi hicho (mfumo wa usomaji post ndefu siyo rafiki). 

Tatu, visibility yako kwa search engine ni hafifu. Watu wakisachi huduma au bidhaa kama yako huwezi kuonekana kwenye SERP (Search Engine Result Page). 

Hata kama kuna post ulijieleze au ulielezea nini kampuni yako inafanya mtu hawezi kuscroll post zote hadi aipate hiyo post. Kwanza hiyo post hajui kama ipo. 

Unataka kukusanya emails za watu ili uwe unawapatia updates kuhusu biashara yako. Social media haina tool hiyo. 

Website inatatua matatizo yote hayo na mengine mengi ambayo zijayataja. Kwa hiyo kama unategemea social media pekee fikiria mara mbili huenda ukafaidika zaidi ukiwa na website. 

See also  Jinsi Majukwaa ya Kidigitali Yatakavyokusaidia Kukuza Biashara Yako

Huenda kuna watu wanamaswali kuhusu wewe ila ukiwawekea testmonials pale na maelezo mengine huenda ukaongeza trust kwa watu wengi. 

Hata wote unaowaona kwa social media wenye akaunti kubwa kubwa kwa social media ukiwaangalia profile zao lazima utakuta kuna link ya either website yake au kampuni yake. 

Sidhani kama kuna mtu huko mtandaoni yuko serious na kazi yake lakini hana website.  

0 Comments

Submit a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You may also Like….

Jinsi Majukwaa ya Kidigitali Yatakavyokusaidia Kukuza Biashara Yako

Jinsi Majukwaa ya Kidigitali Yatakavyokusaidia Kukuza Biashara Yako

Ukiamua kutumia digital platforms kutangaza huduma/biashara yako ili watu wengi waifahamu, wakutafute ufanye nao kazi (partners), wanunue bidhaa zako n.k inahitaji kujitoa muda wako, pesa na kuwa tayari kuendana na hali ya soko.  Kutumia majukwaa ya mtandaoni...

Mambo Ya Kuzingatia Unapotaka Kununua Hosting

Mambo Ya Kuzingatia Unapotaka Kununua Hosting

Baadhi ya matatizo yanayotokea kwenye website kama loading time, performance, critical error na kushindwa kufanya baadhi ya changes hutokea kwa sababu ya hosting service uliyonunua.Wakati mwingine huwa ni teknolojia mbovu ya hosting (Outdated).Kabla ya kununua au...

Kujifunza Web Design Ni Rahisi

Kujifunza Web Design Ni Rahisi

Kujifunza web design na ukaimaster vizuri ni rahisi sana ikiwa tu utapata mtu anayejua na amekuwa akifanya hiko kitu miaka mingi kuliko kukomaa mwenyewe.Utapita njia fupi ambayo ulitakiwa kujifunza miaka mitatu wewe ukajifunza ndani ya mwezi mmoja au miwili. Hapo...

You may also Like….

Jinsi Majukwaa ya Kidigitali Yatakavyokusaidia Kukuza Biashara Yako

Jinsi Majukwaa ya Kidigitali Yatakavyokusaidia Kukuza Biashara Yako

Ukiamua kutumia digital platforms kutangaza huduma/biashara yako ili watu wengi waifahamu, wakutafute ufanye nao kazi (partners), wanunue bidhaa zako n.k inahitaji kujitoa muda wako, pesa na kuwa tayari kuendana na hali ya soko.  Kutumia majukwaa ya mtandaoni...

Mambo Ya Kuzingatia Unapotaka Kununua Hosting

Mambo Ya Kuzingatia Unapotaka Kununua Hosting

Baadhi ya matatizo yanayotokea kwenye website kama loading time, performance, critical error na kushindwa kufanya baadhi ya changes hutokea kwa sababu ya hosting service uliyonunua.Wakati mwingine huwa ni teknolojia mbovu ya hosting (Outdated).Kabla ya kununua au...